Thursday, April 21, 2016

HOFU NI SEHEMU YA UTASHI WA BINADAMU.. UOGA NI DHAMBI, UKITAWALA.

HOFU NI SEHEMU YA UTASHI WA BINADAMU.. UOGA NI DHAMBI UKITAWALA.

Na; Martin M.M

Kwa kawaida mtu mwenye wasiwasi akionyesha wasiwasi wake ni vizuri kumpatia majibu ya kumwondoa katika wasiwasi huo ili kuepusha migongano inayo weza kuleta migogoro.

Nakumbushwa kuwa Mwanafalsafa wa kutoka Derbyshire, England Thomas Hobbes, alizaliwa 1558 na kufariki 1679 akiwa na umri wa miaka 91 alibainisha, kuwa migogoro mingi miongoni mwetu hutokana na ushindani wa kugombania kisichotosha.

Kwa vile sote tuna mahitaji yenye kufanana, basi Mwanafalsa huyu alisema kuwa migogoro hii itaendelea.

Mwanafalsafa huyu aliamini kuwa kutokana na hatari hii, basi jukumu muhimu na kubwa kwa Serikali yeyote ile iwe ni kulinda amani ya nchi.

Kwamba kwa kutofanya hivyo, jamii itarudi katika hali ya kutokuwa na taratibu.

Nitaendelea kuamini kuwa siku zote, pasipo haki na usawa hakuna amani,...

Ingawa katika jamii yeyote ile, uwepo wa amani na utulivu ni msingi mzuri katika kutafuta haki na usawa, kwa njia ya majadiliano.

Nilipata kusoma kisa cha mtego wa panya uliosababisha madhara hata kwa wasio panya.

Panya kwenye nyumba aliubaini mtego wa panya uliowekwa na mwenye nyumba uvunguni mwa
kitanda.

Panya yule akamwendea jogoo wa mwenye nyumba.

Akamwambia:

“Ewe jogoo, kuna mtego umewekwa uvunguni mwa kitanda. Tusaidiane namna ya kuutegua kabla haujatudhuru wote."

Jogoo akajibu

"Ondoka zako, mie mtego wa panya unanihusu nini wakati sina kawaida ya kufika uvunguni mwa kitanda?"

Panya yule akaenda hadi kwa mbuzi wa mwenye nyumba.

Akamwambia: "Ewe mbuzi mwema, unajua kuna mtego wa panya uvunguni mwa kitanda cha mwenye nyumba. Tusaidiane mawazo yakuutegua
kabla haujatudhuru sote."

Mbuzi akajibu

"Hivi tangu lini ukaniona nikiingia chumbani kwa mwenye nyumba? Mtego huo wa panya haunihusu mie mbuzi."

Panya akaenda hadi kwa ng'ombe wa mwenye nyumba.

Akamwambia:

"Ewe ng'ombe wa Bwana, kuna mtego wa panya umewekwa uvunguni mwa kitanda. Tusaidiane mawazo namna ya kuutegua kabla haujatuletea madhara."

Ng'ombe akajibu akionyesha mshangao;

"Sijapata kusikia jambo la ajabu kama hilo. Yaani, mie
ng'ombe nidhurike na mtego wa panya ulio uvunguni mwa kitanda! Hilo halinihusu."

Basi, ikatokea siku moja, nyoka akaingia chumbani kwa mwenye nyumba.

Katika kutambaa kwake uvunguni mwa kitanda, mkia wa nyoka ukanasa mtegoni.

Kishindo kilisikika.

Mwenye nyumba alikwenda kwa furaha akiamini hatimaye panya aliyekuwa akimsumbua sasa amenaswa.

Hapana, kumbe ni nyoka aliyenaswa mkia. Na ni nyoka mwenye hasira pia.

Akamng'ata mguu. Sumu kali akamwachia. Mwenye nyumba akapatwa na mauti muda mfupi tu uliofuata..

Jirani wakafika msibani. Siku ya kwanza watu walikuwa wachache.

Wakahitaji kitoweo.

Akakamatwa jogoo wa mwenye nyumba. Jogoo akachinjwa...

Siku ya pili watu wakaongezeka.

Kilihitajika kitoweo pia....

Akakamatwa mbuzi wa mwenye nyumba. Mbuzi akachinjwa...

Na siku ya maziko watu wakawa wengi zaidi. Akakamatwa ng'ombe wa mwenye nyumba. Naye akachinjwa!

Ni jogoo, mbuzi na ng'ombe wa mwenye nyumba walioamini kuwa madhara ya mtego ule wa panya yasingewahusu wao.

Walikosea sana...

Panya alikuwa sahihi,..

Na wala mtego haukumdhuru panya!

Kuna cha kujifunza kutoka kwenye kisa hiki....

Kama ukiruhusu akili yako ikawa kubwa na kuwa huru katika kufikiri..

Chukua yanayoendelea Zanzibar sasa kama mfano... Zanzibar ikichafuka, na hata Tanzania Bara itachafuka haitakuwa salama.. Tunapaswa kushirikiana katika kuutatua mgogoro wa Zanzibar, na siyo kunyosheana vidole.. sisi sote ni WATANZANIA..

Amani ya Zanzibar na Bara ikichafuka.. CCM, CDM, ACT, TLP, CUF, NCCR-Mageuzi, NLD wote tutapata madhara na hata maafa.., sasa nashindwa kuelewa dhana ya kusema..

'Hatuwezi kuwapa Hizbu Zanzibar na hata kama wameshinda CUF katika uchaguzi'..

Kauli mbaya na haramu sana hii...

Tutafakari hili tukiyaangalia na ya kwetu tukiyatazama yanayoendelea kutokea nchini kwetu.. mfululizo, kwa kupangwa na watawala wenye hila, ubinafsi na uchu katika utawala..

Martin Maranja Masese,
Mwananchi wa kawaida,
martinchizzle@gmail.com
+255719715520

Friday, September 14, 2012

ALEXANDER BUTTNER RASMI KUIWAKILISHA MANCHESTER UNITED KWA MARA YA KWANZA.

Alexander Buttner beki mpyaaa aliyesajiliwa na Manchester united ya England kutoka Vittese ya ligi kuu ya Uholanzi anaweza kuanza rasmi kuiwakilisha timu yake hiyo mpyaa watakapoivaa wigan athletic.. hii ni baada ya kocha wa timu hiyo ya old trafford kusema kuwa beki wake wa kushoto,Patrice Evra kacheza mechi nyingi na ni vizuri kupata mbadala wa kumpumzisha katika msimu huu..

ROBIN VAN PERSIE NA SHINJI KAGAWA RASMI KUWAVAA WIGAN

                                                                   Robin Van Persie
                                                                      Shinji Kagawa
Kocha wa timu ya manchester united, Sir Alex Ferguson amesema kuwa wachezaji shinji kagawa na robin van persie ambao walikuwa majeruhi wakiwa wanawakilisha mataifa yao  katika michuano ya kufuzu kwa kombe la dunia 2014 nchini Brazil,wako tayari kuwavaa Wigan athletic hapo kesho katika mtanange wa ligi kuu ya England...

AUNT EZEKIEL ASASAMBUA NA KUACHA MAUMBILE YAKE NYETI HADHARANI...

Huyu ni muigizaji wa Bongo movie ,Aunt ezekiel akisasambua mauno katika show ya fiesta mwanza katika viwanja vya ccm kirumba.. aliongozana na Steven Nyerere,Jacob Steven,Raymond Kigosi na Wema sepetu...

Ommy Dimpoz - Baadae (Official Video HD). cheki na making ya video ommy dimpoz hukoo bondeni..

Saturday, November 6, 2010

ALLY MURSALINA APATA SHAVU...

Jamaa ni kiongozi pale big level entertainment,anapiga mzigo kama mmoja wa waanzilishi wa group hiyo na mpaka sasa anapiga mzigo hapo...keep it up brraada....

RICK ROSS AONGEZEKA UNENE...??????

Jamaa anaitwa  RICK ROSS au THE TEFFLON DON ,,,picha za karibuni zinamuonesha akiwa kaongezeka unene saana...katika picha yuko na jay z akila bata huku akivuta mkanda....

SUGU MPANGO MZIMA PALE MJENGONI

joseph mbilinyi a.k.a mr 2,,sugu amechaguliwa na wananchi wa jimbo la mbeya mjini kuwa mbunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha miaka 5 ijayo...jamaa kawataka wana mbeya kuwa kitu kimoja katika kuleta maendeleo jijini mbeya,, hongera SUGU..

Ricky Loose Some Weight??!

Ricky Loose Some Weight??!

DIAMOND APATA SHAVU JIPYA..

kijana anayesumbua hapa town kwa song zake nzuri Nassibu Abdull a.k.a diamond amechaguliwa katika tuzo za mtv africa music awards( MAMA)..katika category ya best upcoming act...so tuendelee kumuombea na ku-vote jwa huyu jamaa..kwa sasa yuko uingereza kwa ajili ya michakato ya kimuziki..

RAMA DEE AACHIA KITU KINGINE

Msanii ambaye ni KING of R n B  hapa bongo Rama dee ameachia ngoma yake mpyaa inaitwa MAKE UP...katika ngoma hii kuna vichwa kama G NAKO na PIPI ...HII NI BONGE MOJA LA  NGOMA KUTOKA  KWA RAMA DEE...

Sunday, October 24, 2010


I made this widget at MyFlashFetish.com.


Tue, 30 March, 2010 1:57:15
ETI NI KWELI WAYNE ANAUZA TIKETI KULIKO JIGGER(jay z)
...
From:
martin maranja   
...
Add to Contacts
To:martin maranja

ETI NI KWELI LIL WAYNE ANAUZA TICKET KULIKO JAY Z..

According to sources, Wayne ameuza zaidi ya 40 million on concerts alone.
Wayne grossed 42 million dollars in revenue from concert sales, outselling the Jay-Z and Mary J Blige Tour which grossed 34 million:
Kutoka kwa Producer wa Wayne wa Tour anaefahamika kama Shawn Gee, seventy-eight concerts held in North America from Dec. 14, 2008, through Sept. 6, 2009, grossed approximately $42 million and drew nearly 804,000 fans.
The second highest-grossing rap tour that Billboard has tracked was Jay-Z’s 2008 jaunt with Mary J. Blige, which grossed $34.6 million and drew 310,694 concertgoers to 28 shows, according to Billboard Boxscore. Kanye West’s 2008 Glow In the Dark tour comes in third, having pulled in $30.8 million from 49 concerts that attracted 507,853 fans.

so licha ya kuwa weezy anasemwa vibaya ila anauza na anawapenzi wengi kuliko Jay Z !!
at 9:38 AM

Saturday, October 23, 2010

ALICIA KEYZ APATA MTOTO WA KIUME

Mwanamuziki kutoka nchini Marekani Alicia Keys amejifungua mtoto wa kiume..mwanamuziki huyo kwa sasa anatoka na mtayarishaji na mwanamuziki  Swizz Beatz baada ya kuachana na aliyekuwa mkewe Mashonda...

MWISHO KARIBU TENA HOME

Jamaa anaitwa mwisho mwampamba,,ni mshiriki wa big brother all star 2010..alifika hadi katika tano bora lakini akatoka na UTI kutuka Nigeria akaondoka na mpunga mrefu kutoka kwa waandaaji....picha ina muonyesha akiwa uwanja wa ndege wa mwl j.k nyerere Dar es saalam akipokewa na ndugu jamaa na marafiki zakeee...HONGERAAAA BROO...kwa kuitangaza nchi yetu...!11

ALIKIBA KUPIGA SHOW ZA NJE

Jamaa ni mkilii vibaya katika muziki wa kibongo...anafanya vizuri hadi nje,  na kwa sasa ana program yake ya kwenda kufanya show nje ya bara la Africa...

Thursday, October 21, 2010

mdogo wangu wa ukweliiiiii.....from specialll zonee......

                                                                paul mau steven
                                                                    eka na maingu...      

EMINEM AFUNIKA KATIKA CATEGORY KIBAO- VMA

EMINEM amechaguliwa katika category 5 za tuzo za muziki za mtv mwaka wa 2010...pia kuna lady gaga,kanye wet,black eyed peas na wasanii kibao...stay na wajanja 4 more info...

Whip My Hair REMIX Ft. Drake, Lil Wayne, Nicki Minaj (DJ SKIDMARC REMIX)

DR.WILBROAD PETER SLAA AENDELEA KUWASHIKA

                                                             SINGIDA
                                                                MWANZA
Mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA DR.wilbroad peter slaa,ameendelea na kampeni zake katika sehemu mbalimbali nchini na kupata mapokezi mazuri....                                                    

JK AUNGURUMISHA LINDI

                   Mgombea urais kwa tiketi ya c.c.m jana alifunika vibaya baada ya kupokelewa na umati mkubwa wa wananchi wa lindi mjini....

MKALI JOH MAKINI

                                                                            
                  Mcheki katika muonekano mpya huyu jamaa...anaonekana ni real HIPHOP artist...

C PWAA AKAMILISHA VIDEO YAKE YA ACTION





                                                                       
                                                            cow-obama a.k.a ngwair
                                                                   cp na dully sykes
         hizi ni baadhi ya shoots katika video mpya ya c pwaa inaitwa action

Wednesday, October 20, 2010

CHAMELEON NA WAKAZI SHOW IN CHICAGO

CHAMELEON NA WAKAZI SHOW IN CHICAGO: "Dr Jose Chameleone will be rocking the people of Chicago on the Saturday of October 23rd at the Wild Hare Nightclub. Coming from his Canadia..."
                                                     huu ndio mkoko anaoutumia          
                                                       wakazi na jose wata wa rock vibaya..
                                                                                                      

WILLOW SMITH ALIA KATIKA KIPINDI CHA 106& PARK

WILLOW SMITH ALIA KATIKA KIPINDI CHA 106& PARK: "It was a family affair kwa smiths nje ya studio za BET. Will na Jada wakimsindikiza Willow Smith kurecord kipindi cha 106 & park ambapo ali..."                                      

                                                                           

MR 2 APOTEZA VIBAYA MBEYA

Mgombea ubunge jimbo la mbeya mjini kwa tiketi ya chadema,Joseph Mbilinyi a.k.a mr 2 amefanya mkutano wake wa kampeni katika soko la mwanjelwa na kukusanya umati mkubwa wa watu....jamaa ameonekana kupendeka na idadi kubwa ya wananchi wa mbeya mjini.

MNYIKA AFUNIKA VIBAYA SINZA

Mgombea ubunge kwa tiketi ya chadema john mnyika,akihutubia mkutano wa kampeni za ubunge katika jimbo la ubungo jijini Dar es saalam..

AY NA SEAN KINGSTONE KUFANYA COLLABO

Msanii mwenye crown bongo Ambwene Yessaya a.k.a AY yuko nchini kenya kwa ajili ya kupiga show na pia kujianda na safari ya mtoni kufanya collabo na jamaa mkali anaitwa sea kingstone

Saturday, September 4, 2010

DUDE JIPYA KUTOKA KWA AY NA FA

Ebana jamaa wameingia mzigoni kwa hermy b pale B'HITZ MUSIC ma wamedrop pini linakenda kwa jina la DAKIKA MOJA na wamempa  shavu mtu mzima  HARD MAD......so kama vipi isikiliziiiiee...

Wednesday, May 12, 2010

Ronaldinho out Brazil

kikosi cha brazil kimetangazwa huku jina la mchezaji bora wa dunia mwaka 2006 Ronaldinho Gaucho likikosekana

TID adai kupigwa na Hasheem

The most celebrity in bongo H asheem Thabit, jamaa inasemekana kampa nakoz kijana wa Dar es saalam Tid...hiyo ni kwa mujibu wa BLOG yake TID mwenyewe..so ili kujiua zaidi mcheki TID kupitia site yake ya www.topbandtz.blogspot.com.

1. AY. 2. Fid Q. 3. Joh Makini. 4. Marlow. 5. African Stars – Twanga Pepeta. 6. Mwansiti. 7. Lady Jaydee. 8. Mzee Yusuph na Offside Trick 9. Wahapahapa 10. Ali Kiba

sean kingstone kukisanua katika killi awards

sean kingstone ndiye msanii atakayesababisha burudani ya kutosha kwa  watanzania ambao watahudhuria sherehe za utoaji wa tuzo za kilimanjaro music awards,kiingilio kwa tiketi za awali ni sh 15000 za kitanzania.

50 Cent - So Disrespectful

Ludacris - My Chick Bad ft. Nicki Minaj

Nas ft Damian Marley - As We Enter (Lyrics + Download) NOT BLOCKED

Tuesday, May 11, 2010

mtoto wa mbagala anavyokimbiza

kijana anaitwa diamond anakimbiza na ji-song lake kwa jina la mbagala....ebana kijana kalalamika vi-deadly katika song hilo..na video kasha kamilisha na inafanya vizuri sokoni...

hii ni silaha ya hatari jo..!

hii ni silaha ya hatari coz it looks like simu lakini jamaa wameiunda kwa ajili ya kujilinda na maharamia huko hungary...i thought some dayz even Tanzania itafika katika level hizo za kutengeneza vitu kutokana na technology mbalimbali...

unacheki anga kwa down


unacheki anga inavyopendeza ukiwa angani ..kama vipi kwa wale wajanja wa town tuwe na dream za kukwea pipaone day jo..!!

chelsea fc ndio mabingwa wa baclays premier league

Monday, May 10, 2010

The last king of nyaluland-mike T

huyu jamaa ni kati wa maemc wa kiukweli katika game ya muziki wa kibongo...soon anadrop na jiwe linakwenda kwa jina la TJIIBE TUKIWEZA ameligongesha katika studio za B/Hitz & my key....ebana hebu tumpe sapoti ya ukweli THE LAST KING OF NYALULAND.

wanaume TMK wadrop Kenya

jamaa wa Temeke wame-drop nchini kenya ka matamasha matatu ya kiukweli ambayo wamepanga kuweka heshima kwa mashabiki wa kundi hilo kutoka nchini kenya...kundi hilo lina wasanii wanaofanya vizuri kunako game ya bongo flavour...mkono mmoja ya Chegge na Temba pamoja na mambo bado aliyoimba Chegge na laddy jay dee...

mkali kwanza arudi studio

jamaa anaitwa q-jay kutoka kwa wakali kwanza na siku si nyingi ameingiza kitu(wife) ndani...so jamaa ameamua ku-drop studio za mj records zilizoko masaki kwa ajili ya ku-record ngoma kwa jina la NAKUBAMBA chini ya prodyuza marco chaliii..so soon unadrop down na mkali kwanza huyooo.